Uchambuzi Wa Sera, Uongozi Na Maslahi Ya Watanzania

Uchambuzi Wa Sera, Uongozi Na Maslahi Ya Watanzania

Paperback (01 Jan 2014) | Swahili

  • $23.30
Add to basket

Includes delivery to the United States

10+ copies available online - Usually dispatched within 7 days

Publisher's Synopsis

Katika sehemu ya kwanza na ya pili ya kitabu, Chachage anafanya uchambuzi wa kina wa mfumo wa utandawazi na soko huria. Makala yake juu ya zao la tumbaku na korosho yanadhihirisha wazi madhara yaliyowapata wakulima wadogowadogo katika soko huria, kwa maana nyingine, anaelezea juu ya uhuru waliopewa wafanyabiashara wanunuzi wa mazao ya wakulima bila usimamizi wa serikali. Kwa ustadi mkubwa, msomi wetu pia anachambua nafasi na hali ya wachimbaji wadogowadogo na jinsi wawekezaji katika migodi wanavyochuma rasilimali zetu bila kunufaisha nchi wala wazalishaji wadogo. Jambo hilo siyo geni. Hivi karibuni kumekuwa na mijadala katika magazeti ambayo inaonesha waziwazi jinsi wawekezaji katika madini wanavyonyonya nchi hii na kujilimbikizia utajiri. Hata hivyo, watawala huendelea kuegemea upande wao bila kujali ustawi wa jamii yetu. Sehemu ya Utangulizi

Book information

ISBN: 9789987735273
Publisher: Amazon Digital Services LLC - KDP Print US
Imprint: E & D Vision Publishing Limited
Pub date:
Language: Swahili
Number of pages: 276
Weight: 272g
Height: 198mm
Width: 129mm
Spine width: 15mm